1 Corinthians 15:56 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kifo hupata sumu yake katika dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika sheria.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Dhambi ni nguvu ya mauti inayodhuru, na nguvu ya dhambi ni sheria.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Ukali wa kifo hutokana na dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika Sheria.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kifo hupata sumu yake katika dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika sheria.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Uchungu wa mauti ni dhambi na nguvu ya dhambi ni sheria.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kifo hupata sumu yake katika dhambi, nayo dhambi hupata nguvu yake katika sheria.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani uchungu wa kufa ndio ukosaji, lakini nguvu ya ukosaji ndiyo Maonyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni torati.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kifo kinapata uwezo wa kuua kutokana na zambi, na zambi inapata uwezo wake kutokana na Sheria.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Uchungu wa mauti ni dhambi, na nguvu za dhambi ni sharia.