1 Corinthians 2:15 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu wa kiroho hubainisha mambo yote, lakini yeye mwenyewe habainishwi na mtu yeyote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Aliye na Roho anaweza kujua mambo yote anayofundisha Roho. Na hatutahukumiwa kuwa na hatia na mtu yeyote.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu wa kiroho hutambua mambo yote, lakini yeye mwenyewe hatambuliwi na mtu ye yote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu wa kiroho hubainisha mambo yote, lakini yeye mwenyewe habainishwi na mtu yeyote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini mtu aliye na huyo Roho anaweza kubainisha ubora wa kila kitu, naye mwenyewe hahukumiwi na mtu mwingine.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mtu anayemtii Roho huyachunguza yote, lakini mwenyewe hakuna, ambaye achunguzwa naye.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu anayekuwa na Roho wa Mungu anahukumu mambo yote, lakini hakuna mutu anayeweza kumuhukumu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini mtu wa rohoni huvatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.