1 Corinthians 2:3 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na matetemeko mengi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nilipokuja kwenu nilikuwa mdhaifu na mwenye hofu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mimi nilikuja kwenu nikiwa dhaifu na mwenye hofu na kwa kutetemeka sana.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nami nilikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na kwa kutetemeka sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nilipokuwa kwenu nilikuwa dhaifu, natetemeka kwa hofu nyingi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nami nalikaa kwenu mwenye unyonge na woga na matetemeko mengi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na matetemeko mengi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sababu ya hii nilikuwa kwenu katika hali ya uzaifu na woga, mwenye kutetemeka sana.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na khofu na matetemeko mengi.