1 Corinthians 2:5 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Nilifanya hivi ili imani yenu iwe katika nguvu ya Mungu siyo katika hekima ya kibinadamu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Nilifanya hivyo kusudi imani yenu ipate kutegemea nguvu ya Mungu, na si hekima ya binadamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
kusudi mmtegemee Bwana, ila visiwe kwa kushindwa na werevu wa kimtu, ila kwa kushindwa na nguvu yake Mungu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
kusudi imani yenu isikuwe katika hekima ya watu, lakini katika uwezo wa Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
imani yenu isiwe katika hekima ya wana Adamu, bali katika nguvu za Mungu.