1 Corinthians 3:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
tena, “Mwenyezi Mungu anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na tena, Bwana anayafahamu mawazo ya wenye hekima ya kwamba ni ya ubatili.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Pia Maandiko yanasema, “Bwana anajua mawazo ya wenye hekima. Anajua kuwa mawazo yao hayana maana.”
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Tena, “Bwana anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
tena, “Bwana Mwenyezi anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na tena, Bwana anayafahamu mawazo ya wenye hekima ya kwamba ni ya ubatili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Na tena: Bwana huyatambua mawazo ya wenye werevu kuwa ya bure.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na tena, Bwana anayafahamu mawazo ya wenye hekima ya kwamba ni ya ubatili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nayo yanasema vilevile: “Bwana anatambua mawazo ya wenye hekima; anajua kwamba ni ya bure.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na tena, Bwana anajua mawazo ya wenye hekima ya kwamba ni ya ubatili.