1 Corinthians 6:14 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Naye Mungu aliyemfufua Bwana Isa kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia kwa uweza wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua sisi kwa uweza wake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na Mungu ataifufua pia miili yetu kutoka kwa wafu kwa nguvu yake, kama alivyomfufua Bwana Yesu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Naye Mungu aliyemfufua Bwana kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia kwa uweza wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Naye Mungu aliyemfufua Bwana Isa kutoka kwa wafu atatufufua sisi pia kwa uweza wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua sisi kwa uweza wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Mungu aliyemfufua Bwana kutoka wafu atatufufua nasi pia kwa nguvu yake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu alimfufua Bwana, vivyo hivyo atatufufua hata sisi kwa nguvu yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua sisi kwa uweza wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu aliyemufufua Bwana Yesu atatufufua nasi vilevile kwa uwezo wake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua na sisi kwa uweza wake.