1 Corinthians 6:17 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini mtu aliyeungwa na Bwana Isa anakuwa roho moja naye.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini aliyeungana na Bwana, yu mmoja naye katika roho.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini mtu aliyeungwa na Bwana anakuwa roho moja naye.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini mtu aliyeungwa na Bwana Isa anakuwa roho moja naye.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini aliyejiunga na Bwana huwa roho moja naye.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mwenye kugandamiana na Bwana watakuwa roho moja.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini anayeungana na Bwana anageuka kuwa mumoja naye kiroho.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja nae.