1 Corinthians 7:19 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kutahiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu. Lakini kuzitii amri za Mungu ndilo jambo muhimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kutahiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu bali kuzihifadhi amri za Mungu.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kutahiriwa au kutotahiriwa si muhimu. Kilicho muhimu ni kutii amri za Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu. Lakini kuzitii amri za Mungu ndilo jambo muhimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kutahiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu. Lakini kuzitii amri za Mungu ndilo jambo muhimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kutahiriwa si kitu, na kutotahiriwa si kitu bali kuzihifadhi amri za Mungu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; kilicho muhimu ni kuzishika amri za Mungu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kule kutahiriwa siko, nako kutotahiriwa siko, ila kuyashika maagizo ya Mungu ndiko.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kutahiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu bali kuzihifadhi amri za Mungu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kutahiriwa au kutotahiriwa hakufai kitu. Kitu kinachofaa ni kutii amri za Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kutabiriwa si kitu, na kutokutahiriwa si kitu; bali kuzihifadhi amri za Mungu.