1 Corinthians 7:20 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi kila mtu na abaki katika hali aliyoitwa nayo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kila mtu na akae katika hali ile ile ambayo alikuwa nayo alipoitwa.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila mmoja wenu awe katika hali aliyokuwa nayo Mungu alipomwita.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi kila mmoja wenu na abaki katika hali aliyoitwa nayo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi kila mmoja wenu na abaki katika hali aliyoitwa nayo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kila mtu na akae katika hali ile ile ambayo alikuwa nayo alipoitwa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, kila mmoja na abaki kama alivyokuwa wakati alipoitwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila mtu hivyo, alivyokuwa alipoitwa, na akae vivyo hivyo!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kila mtu na akae katika hali ile ile ambayo alikuwa nayo alipoitwa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Inafaa kila mutu abaki sawa alivyokuwa wakati alipoitwa na Mungu.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Killa mtu na akae katika hali ile ambayo alikuwa nayo alipoitwa.