1 Corinthians 7:33 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mwanamume aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini mwanaume aliyeoa anajishughulisha na mambo ya dunia, jinsi ya kumfurahisha mkewe,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Lakini mwanaume aliyeoa hujishughulisha na mambo ya ulimwengu, ili ampendeze mke wake.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtu aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mwanamume aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini mwanaume aliyeoa anajishughulisha na mambo ya dunia, yaani, jinsi ya kumfurahisha mkewe,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini mwanaume aliyeoa anajishughulisha na mambo ya dunia, jinsi ya kumfurahisha mkewe,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mwanamume aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia jinsi atakavyompendeza mkewe,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aliyeoa huyasumbukia mambo ya ulimwenguni, apate kumpendeza mkewe; hivyo amekwisha kugawanyika.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini mutu aliyeoa anasumbukia mambo ya dunia, anatafuta jinsi ya kupendeza muke wake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe.