1 Corinthians 8:2 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lo lote bado, kama impasavyo kujua.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wale wanaodhani kuwa wanajua jambo fulani bado hawajui chochote kwa namna inavyopaswa.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtu ye yote anayedhani kwamba anajua kitu, hajui kama impasavyo kujua.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtu yeyote anayedhani kwamba anajua kitu, bado hajui kama impasavyo kujua.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lolote bado, kama impasavyo kujua.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Anayefikiri kwamba anajua kitu, kwa kweli hajui chochote kama inavyompasa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mtu akijiwazia, ya kuwa amekwisha kutambua kitu, basi, yeye hajautambua bado utambuzi upasao.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lo lote bado, kama impasavyo kujua.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kama mutu anajizania kwamba anajua kitu, yeye hakijui hakika sawa vile inavyomupasa kukijua.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lo lote bado, kama impasavyo kujua.