1 Corinthians 8:5 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Hata kama viko vitu viitwavyo miungu duniani au mbinguni, na hata kama wako miungu na mabwana wengi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa kuwa hata kama wapo hao wanaoitwa miungu, wakiwa mbinguni au duniani (kama ilivyo kweli wapo “miungu” wengi na “mabwana” wengi),
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana ijapokuwa wako waitwao miungu, ama mbinguni ama duniani, kama vile walivyoko miungu mingi na mabwana wengi;
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Baadhi ya watu husema kuwa kuna miungu wanaoishi mbinguni na miungu wengine huishi duniani. Hata kama kuna “miungu” na “mabwana” wanaoaminiwa na watu, hilo si muhimu kwetu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Hata kama viko vitu viitwavyo miungu duniani au mbinguni, na hata kama wako miungu na mabwana wengi,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Hata kama viko vitu viitwavyo miungu duniani au mbinguni, na hata kama wako miungu na mabwana wengi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa maana hata kama wapo hao wanaoitwa “miungu” kama ni mbinguni au duniani (kama ilivyo kweli wapo “miungu” wengi na “mabwana” wengi).
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa kuwa hata kama wapo hao wanaoitwa miungu, kama wakiwa mbinguni au duniani (kama ilivyo kweli wapo “miungu” wengi na “mabwana” wengi),
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana ijapokuwa wako waitwao miungu, ama mbinguni ama duniani, kama vile walivyoko miungu mingi na mabwana wengi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Hata kama viko vitu viitwavyo miungu duniani au mbinguni, na hata kama wako miungu na mabwana wengi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kweli viko viitwavyo miungu, kama vya mbinguni au vya ulimwenguni, kwa hiyo miungu yao ni mingi nao mabwana zao ni wengi,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana ijapokuwa wako waitwao miungu, ama mbinguni ama duniani, kama vile walivyoko miungu mingi na mabwana wengi;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kuko wale wanaoitwa miungu katika mbingu na katika dunia, na hivi kuko “miungu” mingi na “wabwana” wengi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana ijapokuwa wako waitwao waungu, ikiwa mbinguni au duniani, kama vile wako waungu wengi na bwana wengi;