1 John 2:10 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yeyote ampendaye ndugu yake yuko katika mwanga, na hamna chochote ndani yake kiwezacho kumkwaza mtu mwingine.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye ampendaye ndugu yake anakaa nuruni, wala hakuna kitu chochote ndani yake cha kumkwaza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye ampendaye ndugu yake, akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Wao wanaowapenda ndugu wanaishi katika nuru, na hakuna kitu ndani yao cha kuwafanya watende mabaya.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Yeyote ampendaye ndugu yake, yuko katika mwanga, na hamna chochote ndani yake kiwezacho kumkwaza mtu mwingine.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yeyote ampendaye ndugu yake yuko katika mwanga, na hamna chochote ndani yake kiwezacho kumkwaza mtu mwingine.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye ampendaye ndugu yake anakaa nuruni, wala hakuna kitu cho chote ndani yake cha kumkwaza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye ampendaye ndugu yake anakaa nuruni, wala hakuna kitu chochote ndani yake cha kumkwaza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye ampendaye ndugu yake, akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yeyote ampendaye ndugu yake yuko katika mwanga, na hamna chochote ndani yake kiwezacho kumkwaza mtu mwingine.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwenye kumpenda ndugu yake hukaa mwangani, asiwe na kwazo lililomo mwake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye ampendaye ndugu yake, akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule anayemupenda ndugu yake, anaishi katika mwangaza na ndani yake hamuna kitu kinachoweza kuangusha mwingine katika zambi.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Yeye ampendae ndugu yake, akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo.