1 John 2:23 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Maana yeyote anayemkana Mwana, anamkana pia Baba; na yeyote anayemkubali Mwana, anampata Baba pia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hakuna yeyote amkanaye Mwana aliye na Baba. Yeyote anayemkubali Mwana anaye na Baba pia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Yeyote asiyemwamini Mwana hana Baba, ila yeye anayemkubali Mwana anaye Baba pia.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Maana yeyote anayemkana Mwana, anamkana pia Baba; na yeyote anayemkubali Mwana, anampata Baba pia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Maana yeyote anayemkana Mwana, anamkana pia Baba; na yeyote anayemkubali Mwana, anampata Baba pia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hakuna ye yote amkanaye Mwana aliye na Baba. Ye yote anayemkubali Mwana anaye na Baba pia.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hakuna yeyote amkanaye Mwana aliye na Baba. Yeyote anayemkubali Mwana anaye na Baba pia.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Maana yeyote anayemkana Mwana, anamkana pia Baba; na yeyote anayemkubali Mwana, anampata Baba pia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila anayemkana Mwana hata Baba hanaye vilevile; lakini anayemwungama Mwana anaye hata Baba.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kila amkanaye Mwana, hanaye Baba; amkiriye Mwana anaye Baba pia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule anayemukana Mwana, anamukana Baba vilevile, lakini yule anayemukubali Mwana, anamukubali Baba vilevile.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Killa anikanae Mwana, amkana Baba pia.