1 John 2:3 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kama tukitii mambo ambayo Mungu ametuamuru kuyafanya, tunapata uhakika ya kuwa tunamjua.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua kama tunazishika amri zake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na katika hili tunajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Namo humu ndimo, tutambuamo, ya kuwa tumemtambua, tukiyashika maagizo yake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na katika hili twajua ya kuwa tumemjua yeye, ikiwa tunashika amri zake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Sisi tunatambua kwamba tunamujua Mungu ikiwa tunashika amri zake.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Na hivi twajua ya kuwa tumemjua, ikiwa tunashika amri zake.