1 John 3:22 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
na kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
lolote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Na Mungu anatupa kile tunachomwomba. Nasi tunapokea kwa sababu tunazitii amri za Mungu na kufanya yanayompendeza.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
na twaweza kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
na kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
lo lote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lolote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na lolote tuombalo, tunalipokea kwake, kwa kuwa tunazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
na kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, tutakapopewa naye lolote, tutakaloliomba, kwani twayashika maagizo yake kwa kuyafanya yanayompendeza.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nasi tunapokea jambo lolote tunaloomba kwake, kwa sababu tunatii amri zake na kutenda mambo yanayomupendeza.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake.