1 John 3:4 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila atendaye dhambi huivunja sheria ya Mungu. Ndiyo, kutenda dhambi ni sawa na kuishi kinyume na sheria ya Mungu.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila mwenye kukosa hukataa kuonyeka, nako kukosa ndiko kukataa kuonyeka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kila atendaye dhambi, afanya uasi; kwa kuwa dhambi ni uasi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila mutu anayefanya zambi anavunja sheria ya Mungu, kwa sababu kufanya zambi ni kuvunja sheria.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Killa afanyae dhambi, afanya nasi; kwa kuwa dhambi ni nasi.