1 John 4:8 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni pendo.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kila asiyependa hamfahamu Mungu, kwa sababu Mungu ni Pendo.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni pendo.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mwenyezi Mungu ni pendo.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Asiyependa hakumtambua Mungu kwamba: Mungu ni upendo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu asiyekuwa na upendo hamujui Mungu kwa maana Mungu ni upendo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni pendo.