1 John 5:17 — Compare Translations
14 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kila lisilo la haki ni dhambi, na dhambi iko isiyo ya mauti.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Daima kutenda yasiyo haki ni dhambi. Lakini ipo dhambi isiyomwongoza mtu katika mauti ya milele.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jambo lo lote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kila lisilo la haki ni dhambi, na dhambi iko isiyo ya mauti.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Upotovu wote ni wa kukosa, tena yako makosa yasiyoua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kila lisilo la haki ni dhambi, na dhambi iko isiyo ya mauti.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila tendo lisilokuwa la haki ni zambi, lakini kuna zambi isiyoleta kifo.
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Killa lisilo la haki ni kosa, na kosa liko lisilo la mauti.