1 John 5:3 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
Kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na amri za Mungu si ngumu kwetu,
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwani kumpenda Mungu ni kuyashika maagizo yake, nayo maagizo yake si magumu.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri zake; wala amri zake si nzito.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana kumupenda Mungu ni kutii amri zake. Na amri zake si ngumu,
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
Kwa maana huku ndiko kumpenda Mungu, kuzisinka amri zake: na amri zake si nzito.