1 Kings 11:30 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mara, Ahiya akalivua vazi lake jipya, akalirarua vipande kumi na viwili,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
naye Ahiya akachukua joho jipya alilokuwa amevaa akalirarua vipande kumi na viwili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ahiya akalishika lile vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua vipande kumi na viwili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mara, Ahiya akalivua vazi lake jipya, akalirarua vipande kumi na viwili,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
naye Ahiya akachukua joho jipya alilokuwa amevaa akalirarua vipande kumi na viwili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
naye Ahiya akachukua joho jipya alilokuwa amevaa akalirarua vipande kumi na viwili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ahiya akalishika lile vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua vipande kumi na viwili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mara, Ahiya akalivua vazi lake jipya, akalirarua vipande kumi na viwili,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ahia akajivua kanzu yake mpya, aliyokuwa ameivaa, akairarua, itoke vipande 12.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ahiya akalishika lile vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua vipande kumi na viwili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mara moja, Ahiya akavua nguo yake mupya, akaipasua kwa vipande kumi na viwili,