1 Kings 12:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akaweka sanamu moja ya ndama wa dhahabu mjini Betheli, na ya pili mjini Dani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndama mmoja akamweka Betheli, na mwingine akamweka Dani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamweka mmoja katika Betheli, na wa pili akamweka katika Dani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akaweka sanamu moja ya ndama wa dhahabu mjini Betheli, na ya pili mjini Dani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndama mmoja akamweka Betheli na mwingine Dani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndama mmoja akamweka Betheli na mwingine Dani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamweka mmoja katika Betheli, na wa pili akamweka katika Dani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akaweka sanamu moja ya ndama wa dhahabu mjini Betheli, na ya pili mjini Dani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndama moja akaiweka Beteli, moja akaiweka Dani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamweka mmoja katika Betheli, na wa pili akamweka katika Dani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akaiweka sanamu moja katika muji wa Beteli, na ya pili katika muji wa Dani.