1 Kings 13:19 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, mtu wa Mungu akarudi pamoja naye, akala chakula na kunywa maji kwa huyo mzee.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi mtu yule akarudi pamoja naye, akala chakula, akanywa maji nyumbani mwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, mtu wa Mungu akarudi pamoja naye, akala chakula na kunywa maji kwa huyo mzee.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi mtu yule akarudi pamoja naye, akala chakula, akanywa maji nyumbani mwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, mtu wa Mungu akarudi pamoja naye, akala chakula na kunywa maji kwa huyo mzee.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akarudi naye, akala chakula nyumbani mwake, akanywa maji.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi mtu yule akarudi pamoja naye, akala chakula, akanywa maji nyumbani mwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, mutu wa Mungu akarudi pamoja naye, akakula chakula na kunywa maji kwa huyo muzee.