1 Kings 13:29 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, huyo nabii mzee akaitwaa maiti ya mtu wa Mungu, akaiweka juu ya punda wake, akairudisha mjini Betheli, kuomboleza kifo chake na kumzika.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi yule nabii mzee akachukua maiti ya mtu wa Mungu, akailaza juu ya punda na akairudisha katika mji wake, ili amwombolezee na kumzika.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nabii yule akamtwaa maiti wa yule mtu wa Mungu, akamweka juu ya punda wake, akamrudisha; yule nabii mzee akaenda mjini mwake, kukaa matanga, na kumzika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, huyo nabii mzee akaitwaa maiti ya mtu wa Mungu, akaiweka juu ya punda wake, akairudisha mjini Betheli, kuomboleza kifo chake na kumzika.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi yule nabii mzee akachukua maiti ya mtu wa Mungu, akailaza juu ya punda na akairudisha katika mji wake, ili amwombolezee na kumzika.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi yule nabii mzee akachukua maiti ya mtu wa Mungu, akailaza juu ya punda na akairudisha katika mji wake, ili amwombolezee na kumzika.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nabii yule akamtwaa maiti wa yule mtu wa Mungu, akamweka juu ya punda wake, akamrudisha; yule nabii mzee akaenda mjini mwake, kukaa matanga, na kumzika.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, huyo nabii mzee akaitwaa maiti ya mtu wa Mungu, akaiweka juu ya punda wake, akairudisha mjini Betheli, kuomboleza kifo chake na kumzika.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfumbuaji akaichukua maiti ya yule mtu wa Mungu, akaiweka juu ya punda, akairudisha, aje nayo mjini mwake mfumbuaji mzee, amwombolezee, kisha amzike.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nabii yule akamtwaa maiti wa yule mtu wa Mungu, akamweka juu ya punda wake, akamrudisha; yule nabii mzee akaenda mjini mwake, kukaa matanga, na kumzika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, yule nabii muzee akaitwaa maiti ya mutu wa Mungu, akaiweka juu ya punda wake, akairudisha Beteli, kuomboleza kifo chake na kumuzika.