1 Kings 14:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Wakati huo, Abiya mwana wa mfalme Yeroboamu, akawa mgonjwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wakati ule, Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Siku zile akaugua Abiya, mwana wa Yeroboamu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Wakati huo, Abiya mwana wa mfalme Yeroboamu, akawa mgonjwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wakati ule Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wakati ule Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Siku zile akaugua Abiya, mwana wa Yeroboamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Wakati huo, Abiya mwana wa mfalme Yeroboamu, akawa mgonjwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Siku zile Abia, mwana wa Yeroboamu, akaugua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Siku zile akaugua Abiya, mwana wa Yeroboamu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati ule, Abiya mwana wa mufalme Yeroboamu, akagonjwa.