1 Kings 14:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Daima kulikuwako vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kulikuwa na vita vinavyoendelea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu siku zote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Daima kulikuwako vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kulikuwa na vita vinavyoendelea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kulikuwa na vita vinavyoendelea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu siku zote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Daima kulikuwako vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Navyo vita vya kupigana kwao Rehabeamu na Yeroboamu vilikuwako siku zote.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu siku zote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Siku zote kulikuwa vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.