1 Kings 17:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kunguru wakawa wanamletea mkate na nyama, asubuhi na jioni; akapata na maji ya kunywa katika kijito hicho.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, naye akanywa maji kutoka kile kijito.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kunguru wakawa wanamletea mkate na nyama, asubuhi na jioni; akapata na maji ya kunywa katika kijito hicho.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi na mkate na nyama jioni, naye akanywa maji kutoka katika kile kijito.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi na mkate na nyama jioni, naye akanywa maji kutoka kile kijito.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kunguru wakawa wanamletea mkate na nyama, asubuhi na jioni; akapata na maji ya kunywa katika kijito hicho.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Makunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, tena mkate na nyama jioni, akanywa maji ya hicho kijito.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Vibombobombo wakakuwa wanamuletea mukate na nyama, asubui na magaribi; akapata na maji ya kunywa katika kijito kile.