1 Kings 19:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, Elia akalala chini ya mti huo, akashikwa na usingizi. Punde, malaika akaja, akamgusa na kumwambia, “Amka ule.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha akajinyoosha chini ya mti, akalala usingizi. Mara malaika akamgusa na kumwambia, “Inuka ule.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akajinyosha akalala chini ya mretemu; na tazama, malaika akamgusa, akamwambia, Inuka, ule.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, Elia akalala chini ya mti huo, akashikwa na usingizi. Punde, malaika akaja, akamgusa na kumwambia, “Amka ule.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha akajinyoosha chini ya mti, akalala usingizi. Mara malaika akamgusa na akamwambia, “Inuka na ule.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha akajinyoosha chini ya mti, akalala usingizi. Mara malaika akamgusa na akamwambia, “Inuka na ule.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akajinyosha akalala chini ya mretemu; na tazama, malaika akamgusa, akamwambia, Inuka, ule.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, Elia akalala chini ya mti huo, akashikwa na usingizi. Punde, malaika akaja, akamgusa na kumwambia, “Amka ule.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akalala usingizi penye huo mfagio mmoja. Mara malaika akamgusa, akamwambia: Inuka, ule!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akajinyosha akalala chini ya mretemu; na tazama, malaika akamgusa, akamwambia, Inuka, ule.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Elia akalala chini ya muti ule, akashikwa na usingizi. Kisha muda kidogo, malaika akakuja, akamugusa na kumwambia: “Amuka ukule.”