1 Kings 2:10 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Daudi alifariki, akazikwa katika mji wake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Daudi akalala na baba zake, naye akazikwa katika Mji wa Daudi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Daudi akalala na babaze, akazikwa mjini mwa Daudi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Daudi alifariki, akazikwa katika mji wake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Daudi akapumzika pamoja na baba zake naye akazikwa katika Mji wa Daudi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Daudi akapumzika pamoja na baba zake naye akazikwa katika Mji wa Daudi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Daudi akalala na babaze, akazikwa mjini mwa Daudi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Daudi alifariki, akazikwa katika mji wake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Dawidi akalala na baba zake, akazikwa mjini mwa Dawidi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Daudi akalala na babaze, akazikwa mjini mwa Daudi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Daudi akakufa na kuzikwa katika muji wake.