1 Kings 2:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ila, nina jambo moja tu la kukuambia.” Bathsheba akamwambia, “Sema tu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.” Akajibu, “Unaweza kulisema.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akajibu, Kwa amani. Tena akasema, Nina shauri ninalotaka kukuambia. Naye akamwambia, Sema.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ila, nina jambo moja tu la kukuambia.” Bathsheba akamwambia, “Sema tu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.” Akajibu, “Waweza kulisema.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.” Akajibu, “Waweza kulisema.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akajibu, Kwa amani. Tena akasema, Nina jambo ninalotaka kukuambia. Naye akamwambia, Sema.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ila, nina jambo moja tu la kukuambia.” Bathsheba akamwambia, “Sema tu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akasema: Nina neno la kusema na wewe; akamwambia: Liseme!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akajibu, Kwa amani. Tena akasema, Nina shauri ninalotaka kukuambia. Naye akamwambia, Sema.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini, nina jambo moja tu la kukuambia.” Batiseba akamwambia: “Sema tu.”