1 Kings 2:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bathsheba akamwambia, “Sawa; nitazungumza na mfalme kwa niaba yako.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Bath-sheba akasema, Vema; nitasema na mfalme kwa ajili yako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bathsheba akamwambia, “Sawa; nitazungumza na mfalme kwa niaba yako.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Bathsheba akasema, Vema; nitasema na mfalme kwa ajili yako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bathsheba akamwambia, “Sawa; nitazungumza na mfalme kwa niaba yako.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Bati-Seba akasema: Basi, mimi nitakusemea kwake mfalme.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Bath-sheba akasema, Vema; nitasema na mfalme kwa ajili yako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Batiseba akamwambia: “Sawa; nitazungumuza na mufalme kwa jina lako.”