1 Kings 2:38 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shimei akajibu, “Vema mfalme. Nitafanya kama ulivyosema.” Basi, akakaa Yerusalemu muda mrefu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Shimei akamjibu mfalme, “Ulilolisema ni jema. Mtumishi wako atatenda kama bwana wangu mfalme alivyosema.” Naye Shimei akakaa Yerusalemu kwa muda mrefu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Shimei akamwambia mfalme, Neno hili ni jema; kama alivyosema bwana wangu mfalme, ndivyo atakavyofanya mtumwa wako. Basi Shimei akakaa Yerusalemu siku nyingi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shimei akajibu, “Vema mfalme. Nitafanya kama ulivyosema.” Basi, akakaa Yerusalemu muda mrefu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Shimei akamjibu mfalme, “Ulilolisema ni jema. Mtumishi wako atatenda kama bwana wangu mfalme alivyosema.” Naye Shimei akakaa Yerusalemu kwa muda mrefu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Shimei akamjibu mfalme, “Ulilolisema ni jema. Mtumishi wako atatenda kama bwana wangu mfalme alivyosema.” Naye Shimei akakaa Yerusalemu kwa muda mrefu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Shimei akamwambia mfalme, Neno hili ni jema; kama alivyosema bwana wangu mfalme, ndivyo atakavyofanya mtumwa wako. Basi Shimei akakaa Yerusalemu siku nyingi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shimei akajibu, “Vema mfalme. Nitafanya kama ulivyosema.” Basi, akakaa Yerusalemu muda mrefu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Simei akamwambia mfalme: Neno hili ni jema; kama bwana wangu mfalme alivyosema, ndivyo, mtumwa wako atakavyofanya. Kisha Simei akakaa Yerusalemu siku nyingi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Shimei akamwambia mfalme, Neno hili ni jema; kama alivyosema bwana wangu mfalme, ndivyo atakavyofanya mtumwa wako. Basi Shimei akakaa Yerusalemu siku nyingi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Simei akajibu: “Ni vizuri, mufalme. Nitafanya kama ulivyosema.” Basi, akakaa Yerusalema kwa muda murefu.