1 Kings 20:5 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Baadaye, wajumbe hao wakamrudia tena Ahabu, wakamwambia, “Mfalme Ben-hadadi asema hivi: ‘Nilikutumia ujumbe unipe dhahabu, fedha, wake zako pamoja na watoto wako.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Wale wajumbe wakaja tena na kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi: ‘Nimewatuma kutaka fedha yako na dhahabu, wake zako na watoto wako.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Wajumbe wakarudi tena, wakasema, Ndivyo asemavyo Ben-hadadi, Hakika nimetuma kwako kusema, Fedha yako, na dhahabu yako, na wake zako, na wanao, utanitolea mimi;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Baadaye, wajumbe hao wakamrudia tena Ahabu, wakamwambia, “Mfalme Ben-hadadi asema hivi: ‘Nilikutumia ujumbe unipe dhahabu, fedha, wake zako pamoja na watoto wako.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Wale wajumbe wakaja tena na kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi: ‘Nimetuma kutaka fedha yako na dhahabu, wake zako na watoto wako.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Wale wajumbe wakaja tena na kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi: ‘Nimetuma kutaka fedha yako na dhahabu, wake zako na watoto wako.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Wajumbe wakarudi tena, wakasema, Ndivyo asemavyo Ben-hadadi, Hakika nimetuma kwako kusema, Fedha yako, na dhahabu yako, na wake zako, na wanao, utanitolea mimi;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Baadaye, wajumbe hao wakamrudia tena Ahabu, wakamwambia, “Mfalme Ben-hadadi asema hivi: ‘Nilikutumia ujumbe unipe dhahabu, fedha, wake zako pamoja na watoto wako.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Wajumbe wakarudi tena, wakasema: Hivi ndivyo, Benihadadi anavyosema kwamba: Kweli nimetuma kwako kukuambia: Fedha zako na dhahabu zako na wake zako na watoto wako utanipa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Wajumbe wakarudi tena, wakasema, Ndivyo asemavyo Ben-hadadi, Hakika nimetuma kwako kusema, Fedha yako, na dhahabu yako, na wake zako, na wanao, utanitolea mimi;
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Nyuma, wajumbe wale wakarudia tena kwa Ahabu, wakamwambia: “Mufalme Beni-Hadadi anasema hivi: ‘Nilikutumia ujumbe kwamba unipe zahabu, feza, wake zako pamoja na watoto wako.