1 Kings 21:18 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
“Inuka uende kukutana na Ahabu mfalme wa Israeli, ambaye yuko Samaria. Utamkuta katika shamba la mizabibu la Nabothi, akilimiliki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
“Shuka ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, anayetawala Samaria. Sasa yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ambalo ameenda kulimiliki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ondoka, ushuke, ukutane na Ahabu mfalme wa Israeli, akaaye katika Samaria; yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ndiko alikoshukia ili alitamalaki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
“Inuka uende kukutana na Ahabu mfalme wa Israeli, ambaye yuko Samaria. Utamkuta katika shamba la mizabibu la Nabothi, akilimiliki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
“Shuka ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, anayetawala Samaria. Sasa yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ambapo amekwenda alimiliki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
“Shuka ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, anayetawala Samaria. Sasa yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ambapo amekwenda alimiliki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ondoka, ushuke, ukutane na Ahabu mfalme wa Israeli, akaaye katika Samaria; yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ndiko alikoshukia ili alitamalaki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
“Inuka uende kukutana na Ahabu mfalme wa Israeli, ambaye yuko Samaria. Utamkuta katika shamba la mizabibu la Nabothi, akilimiliki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Inuka, ushuke kumwendea Ahabu, mfalme wa Isiraeli, aliye huko Samaria! Utamwona katika shamba la mizabibu la Naboti, alikokwenda kulichukua.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ondoka, ushuke, ukutane na Ahabu mfalme wa Israeli, akaaye katika Samaria; yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ndiko alikoshukia ili alitamalaki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
“Simama uende kukutana na Ahabu mufalme wa Israeli, ambaye yuko Samaria. Utamukuta katika shamba la mizabibu la Naboti kwa kulitwaa.