1 Kings 22:36 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mnamo machweo ya jua, amri ikatolewa: “Kila mtu arudi mjini kwake; kila mtu arudi nchini kwake!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jua lilipokuwa linazama, mbiu ikaenea katika jeshi lote: “Kila mtu aende mjini kwake, na kila mtu shambani kwake!”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikapigwa mbiu jeshini, jua likichwa, kusema, Kila mtu aende mjini kwake, na kila mtu shambani kwake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mnamo machweo ya jua, amri ikatolewa: “Kila mtu arudi mjini kwake; kila mtu arudi nchini kwake!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jua lilipokuwa linazama, mbiu ikaenea katika jeshi lote: “Kila mtu aende mjini kwake, na kila mtu shambani kwake!”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jua lilipokuwa linazama, mbiu ikaenea katika jeshi lote: “Kila mtu aende mjini kwake, na kila mtu shambani kwake!”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikapigwa mbiu jeshini, jua likichwa, kusema, Kila mtu aende mjini kwake, na kila mtu shambani kwake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mnamo machweo ya jua, amri ikatolewa: “Kila mtu arudi mjini kwake; kila mtu arudi nchini kwake!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Jua lilipokuchwa, mbiu ikapigwa makambini kwamba: kila mtu na arudi mjini kwake! Kila mtu na arudi katika nchi yake!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikapigwa mbiu jeshini, jua likichwa, kusema, Kila mtu aende mjini kwake, na kila mtu shambani kwake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Jua liliposhuka, amri ikatolewa: “Kila mutu arudie kwake! Kila mutu arudie kwake!”