1 Kings 4:1 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Solomoni alikuwa mfalme wa nchi yote ya Israeli,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Basi Mfalme Sulemani akatawala Israeli yote.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi mfalme Sulemani akawa mfalme juu ya Israeli wote.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Solomoni alikuwa mfalme wa nchi yote ya Israeli,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Basi Mfalme Solomoni akatawala Israeli yote.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Basi Mfalme Sulemani akatawala Israeli yote.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi mfalme Sulemani akawa mfalme juu ya Israeli wote.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Solomoni alikuwa mfalme wa nchi yote ya Israeli,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mfalme Salomo akawa mfalme wa Waisiraeli wote;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi mfalme Sulemani akawa mfalme juu ya Israeli wote.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Solomono alikuwa mufalme wa inchi yote ya Israeli, na hawa ndio walikuwa wakubwa wa serikali yake wenye vyeo vya juu: Azariya mwana wa Zadoki alikuwa kuhani. Elihorefu na Ahiya, wana wa Sisa, walikuwa wakatibu. Yosafati mwana wa Ahiludi alikuwa mwandishi wa habari. Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa jemadari wa waaskari. Zadoki na Abiatari walikuwa makuhani. Azariya mwana wa Natani alikuwa mukubwa wa maliwali. Kuhani Zabudi mwana wa Natani alikuwa rafiki ya mufalme. Ahisari alikuwa mukubwa wa nyumba ya mufalme. Adoniramu mwana wa Abuda alikuwa musimamizi wa kazi za kulazimishwa.