1 Kings 4:11 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ben-abinadabu, mume wa Tafathi, binti Solomoni, alisimamia kanda yote ya Nafath-dori.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Sulemani);
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mwana wa Abinadabu katika Nafath-dori yote; ndiye aliyekuwa naye Tafathi binti Sulemani kuwa mke wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ben-abinadabu, mume wa Tafathi, binti Solomoni, alisimamia kanda yote ya Nafath-dori.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Solomoni);
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Sulemani);
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mwana wa Abinadabu katika Nafath-dori yote; ndiye aliyekuwa naye Tafathi binti Sulemani kuwa mke wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ben-abinadabu, mume wa Tafathi, binti Solomoni, alisimamia kanda yote ya Nafath-dori.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mwana wa Abinadabu vilima vyote vya Dori vilikuwa vyake, naye Tafati binti Salomo alikuwa mkewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mwana wa Abinadabu katika Nafath-dori yote; ndiye aliyekuwa naye Tafathi binti Sulemani kuwa mke wake.