1 Kings 4:20 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watu wa Yuda na wa Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani, nao walikuwa wakila, wakinywa, na kufurahi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani; walikula, wakanywa na kufurahi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani kwa wingi, wakila, na kunywa, na kufurahi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watu wa Yuda na wa Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani, nao walikuwa wakila, wakinywa, na kufurahi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani; walikula, wakanywa na kufurahi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani; walikula, wakanywa na kufurahi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani kwa wingi, wakila, na kunywa, na kufurahi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watu wa Yuda na wa Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani, nao walikuwa wakila, wakinywa, na kufurahi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nao Wayuda na Waisiraeli walikuwa wengi, kama mchanga ulioko ufukoni kwenye bahari ulivyo mwingi; walikuwa wakila, wakinywa na kufurahi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani kwa wingi, wakila, na kunywa, na kufurahi.