1 Kings 4:22 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Chakula alichohitaji Solomoni kwa siku moja, kilikuwa unga laini madebe 360, na unga wa kawaida madebe 720,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mahitaji ya Sulemani ya kila siku yalikuwa kori thelathini za unga laini, kori sitini za unga wa kawaida.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na vyakula vya Sulemani vya siku moja vilikuwa kori
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Chakula alichohitaji Solomoni kwa siku moja, kilikuwa unga laini madebe 360, na unga wa kawaida madebe 720,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mahitaji ya Solomoni ya kila siku yalikuwa kori thelathini za unga laini, kori sitini za unga wa kawaida.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mahitaji ya Sulemani ya kila siku yalikuwa kori thelathini za unga laini, kori sitini za unga wa kawaida.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na vyakula vya Sulemani vya siku moja vilikuwa kori thelathini za unga mzuri, na kori sitini za ngano,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Chakula alichohitaji Solomoni kwa siku moja, kilikuwa unga laini madebe 360, na unga wa kawaida madebe 720,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Vyakula, Salomo alivyovitumia kwa siku moja, vilikuwa kori 30, ndio frasila 300 za unga mzuri na kori 60, ndio frasila 600 za unga mwingine;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na vyakula vya Sulemani vya siku moja vilikuwa kori thelathini za unga mzuri, na kori sitini za ngano,