1 Kings 4:29 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu alimpa Solomoni hekima zaidi na akili kwa wingi; maarifa yake yalikuwa kama mchanga wa pwani, hayakuwa na kipimo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu akampa Sulemani hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu akampa Sulemani hekima, na akili nyingi sana, na moyo mkuu, kama mchanga ulioko pwani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu alimpa Solomoni hekima zaidi na akili kwa wingi; maarifa yake yalikuwa kama mchanga wa pwani, hayakuwa na kipimo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu akampa Solomoni hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu akampa Sulemani hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu akampa Sulemani hekima, na akili nyingi sana, na moyo mkuu, kama mchanga ulioko pwani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu alimpa Solomoni hekima zaidi na akili kwa wingi; maarifa yake yalikuwa kama mchanga wa pwani, hayakuwa na kipimo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu akampa Salomo werevu wa kweli na utambuzi mwingi sana na akili za moyo zilizokuwa nyingi kama mchanga ulioko ufukoni kwenye bahari.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu akampa Sulemani hekima, na akili nyingi sana, na moyo mkuu, kama mchanga ulioko pwani.