1 Kings 4:3 — Compare Translations
10 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Elihorefu na Ahiya wana wa Shausha, walikuwa makatibu; Yehoshafati mwana wa Ahiludi, alikuwa mweka kumbukumbu za habari.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Elihorefu na Ahiya, wana wa Shausha, waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi mwenye kuandika tarehe;
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Elihorefu na Ahiya wana wa Shausha, walikuwa makatibu; Yehoshafati mwana wa Ahiludi, alikuwa mweka kumbukumbu za habari.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Elihorefu na Ahiya, wana wa Shausha, waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi mwenye kuandika tarehe;
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Elihorefu na Ahiya wana wa Shausha, walikuwa makatibu; Yehoshafati mwana wa Ahiludi, alikuwa mweka kumbukumbu za habari.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Elihorefu na Ahia, wana wa Sisa, walikuwa waandishi; Yosafati, mwana wa Ahiludi, alikuwa mwandishi wa mambo yaliyopasa kukumbukwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Elihorefu na Ahiya, wana wa Shausha, waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi mwenye kuandika tarehe;