1 Kings 4:5 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Azaria mwana wa Nathani, alikuwa ofisa mkuu tawala; kuhani Zabudi mwana wa Nathani, alikuwa rafiki wa mfalme.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Azaria mwana wa Nathani: kiongozi wa maafisa wa wilaya; Zabudi mwana wa Nathani: kuhani na mshauri binafsi wa mfalme;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na Azaria mwana wa Nathani alikuwa juu ya maakida; na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki wake mfalme.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Azaria mwana wa Nathani, alikuwa ofisa mkuu tawala; kuhani Zabudi mwana wa Nathani, alikuwa rafiki wa mfalme.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Azaria mwana wa Nathani: kiongozi wa maafisa wa wilaya; Zabudi mwana wa Nathani: kuhani na mshauri binafsi wa mfalme;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Azaria mwana wa Nathani: kiongozi wa maafisa wa wilaya; Zabudi mwana wa Nathani: kuhani na mshauri binafsi wa mfalme;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na Azaria mwana wa Nathani alikuwa afisa mkuu tawala; na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki yake mfalme.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Azaria mwana wa Nathani, alikuwa ofisa mkuu tawala; kuhani Zabudi mwana wa Nathani, alikuwa rafiki wa mfalme.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Azaria, mwana wa Natani, alikuwa mkuu wa waangaliaji, naye mtambikaji Zabudi, mwana wa Natani, alikuwa mpenzi wa mfalme.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na Azaria mwana wa Nathani alikuwa juu ya maakida; na Zabudi mwana wa Nathani alikuwa kuhani, rafiki wake mfalme.