1 Kings 4:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Haya ndiyo majina ya hao maofisa tawala: Ben-huri alisimamia sehemu ya milima ya Efraimu;
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Majina yao ni haya: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na haya ndiyo majina yao. Mwana wa Huri, mlimani mwa Efraimu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Haya ndiyo majina ya hao maofisa tawala: Ben-huri alisimamia sehemu ya milima ya Efraimu;
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Majina yao ni haya: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Majina yao ni haya: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na haya ndiyo majina yao. Mwana wa Huri, mlimani mwa Efraimu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Haya ndiyo majina ya hao maofisa tawala: Ben-huri alisimamia sehemu ya milima ya Efraimu;
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo majina yao ni haya: Mwana wa Huri milimani kwa Efuraimu;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na haya ndiyo majina yao. Mwana wa Huri, mlimani mwa Efraimu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Haya ndiyo majina ya hao maliwali: Beni-Huri alisimamia sehemu ya milima ya Efuraimu. Beni-Dekari alisimamia miji ya Makasi, Salabimu, Beti-Semesi na Eloni-Beti-Hanani. Beni-Hesedi alisimamia muji wa Aruboti, alisimamia vilevile Soko na inchi yote ya Heferi. Beni-Abinadabu, mume wa Tafati, binti ya Solomono, alisimamia jimbo lote la Dori. Bana mwana wa Ahiludi, alisimamia miji ya Tanaki, Megido, na sehemu yote ya Beti-Seani inayokuwa karibu na muji wa Zaretana, upande wa kusini wa muji wa Yezereheli, na kutoka Beti-Seani mpaka miji ya Abeli-Mehola, na hata kupita muji wa Yokimamu. Beni-Geberi alisimamia muji wa Ramoti-Gileadi pamoja na vijiji vya Gileadi vilivyokuwa vya Yairi mwana wa Manase; tena alisimamia jimbo la Argobu katika inchi ya Basani; yote kwa jumla ilikuwa miji mikubwa makumi sita iliyozungushiwa kuta na kuwekwa vifungio vya shaba kwenye mulango. Ahinadabu mwana wa Ido, alisimamia jimbo la Mahanaimu. Ahimasi, mume wa Basemati, binti ya Solomono, alisimamia sehemu ya inchi ya Nafutali. Bana mwana wa Husayi, alisimamia sehemu ya inchi ya watu wa kabila la Aseri na Bealoti. Yosafati mwana wa Parua, alisimamia sehemu ya inchi ya watu wa kabila la Isakari. Simei mwana wa Ela, alisimamia sehemu ya inchi ya watu wa kabila la Benjamina. Geberi mwana wa Uri, alisimamia sehemu ya inchi ya watu wa kabila la Gileadi, ambayo zamani ilitwaliwa na Sihoni mufalme wa Waamori, na Ogu mufalme wa Basani. Zaidi ya hawa kumi na wawili, kulikuwa mukubwa mumoja aliyesimamia inchi nzima ya Yuda.