1 Kings 6:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mimi nitakaa miongoni mwa wazawa wa Israeli, na sitawaacha kamwe watu wangu, Israeli.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu wangu Israeli.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, wala sitawaacha watu wangu Israeli.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mimi nitakaa miongoni mwa wazawa wa Israeli, na sitawaacha kamwe watu wangu, Israeli.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu wangu Israeli.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu wangu Israeli.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, wala sitawaacha watu wangu Israeli.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mimi nitakaa miongoni mwa wazawa wa Israeli, na sitawaacha kamwe watu wangu, Israeli.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nitakaa katikati yao wana wa Isiraeli, nisiwaache walio ukoo wangu wa Waisiraeli.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, wala sitawaacha watu wangu Israeli.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mimi nitakaa kati ya wazao wa Waisraeli, na sitawaacha hata kidogo watu wangu, Waisraeli.”