1 Kings 6:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kila bawa lilikuwa na urefu wa mita 2.5; kwa hiyo urefu kutoka ncha ya bawa moja mpaka ncha ya bawa lingine ulikuwa mita 4.5.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na bawa jingine dhiraa tano, hivyo urefu kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa jingine ulikuwa dhiraa kumi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na bawa moja la kerubi lilikuwa mikono mitano urefu wake, na bawa la pili la kerubi mikono mitano; mikono kumi toka mwisho wa bawa moja hata mwisho wa bawa la pili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kila bawa lilikuwa na urefu wa mita 2.5; kwa hiyo urefu kutoka ncha ya bawa moja mpaka ncha ya bawa lingine ulikuwa mita 4.5.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na bawa jingine dhiraa tano, hivyo urefu kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa jingine ulikuwa dhiraa kumi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na bawa jingine dhiraa tano, hivyo urefu kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa jingine ulikuwa dhiraa kumi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na bawa moja la kerubi lilikuwa mikono mitano urefu wake, na bawa la pili la kerubi mikono mitano; mikono kumi toka mwisho wa bawa moja hata mwisho wa bawa la pili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kila bawa lilikuwa na urefu wa mita 2.5; kwa hiyo urefu kutoka ncha ya bawa moja mpaka ncha ya bawa lingine ulikuwa mita 4.5.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila bawa moja la Kerubi lilikuwa mikono mitano, nalo bawa la pili la Kerubi lilikuwa mikono mitano, ikawa mikono kumi kutoka pembe ya bawa lake moja mpaka pembe ya bawa lake jingine.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na bawa moja la kerubi lilikuwa mikono mitano urefu wake, na bawa la pili la kerubi mikono mitano; mikono kumi toka mwisho wa bawa moja hata mwisho wa bawa la pili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kila bawa lilikuwa na urefu wa metre mbili na sentimetre makumi mbili na tano; kwa hiyo urefu kutoka incha ya bawa moja mpaka incha ya bawa lingine ulikuwa metre ine na nusu.