1 Kings 6:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Urefu wa kiumbe mmoja ulikuwa mita 4.5; pia urefu wa kiumbe mwingine ulikuwa uleule.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kimo cha kila kerubi kilikuwa dhiraa kumi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Kwenda juu kwake kerubi moja kulikuwa mikono kumi, na kerubi la pili vivyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Urefu wa kiumbe mmoja ulikuwa mita 4.5; pia urefu wa kiumbe mwingine ulikuwa uleule.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kimo cha kila kerubi kilikuwa dhiraa kumi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kimo cha kila kerubi kilikuwa dhiraa kumi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kwenda juu kwake kerubi moja kulikuwa mikono kumi, na kerubi la pili vivyo hivyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Urefu wa kiumbe mmoja ulikuwa mita 4.5; pia urefu wa kiumbe mwingine ulikuwa uleule.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Urefu wa kwenda juu wa Kerubi moja ulikuwa mikono kumi, nalo Kerubi la pili lilikuwa vivyo hivyo.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwenda juu kwake kerubi moja kulikuwa mikono kumi, na kerubi la pili vivyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Urefu wa kerubi mumoja ulikuwa metre ine na nusu; vilevile urefu wa kerubi mwingine ulikuwa uleule.