1 Kings 6:30 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Aliipaka dhahabu sakafu ya vyumba vya ndani na vya nje.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pia alifunika sakafu zote za vyumba vya ndani na vya nje vya Hekalu kwa dhahabu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na sakafu ya nyumba akaifunika na dhahabu ndani na nje.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Aliipaka dhahabu sakafu ya vyumba vya ndani na vya nje.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia alifunika sakafu zote za vyumba vya ndani na vya nje vya Hekalu kwa dhahabu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pia alifunika sakafu zote za vyumba vya ndani na vya nje vya Hekalu kwa dhahabu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na sakafu ya nyumba akaifunika na dhahabu ndani na nje.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Aliipaka dhahabu sakafu ya vyumba vya ndani na vya nje.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Napo pa kukanyagia nyumbani chini akapafunikiza dhahabu katika chumba cha ndani na cha nje.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na sakafu ya nyumba akaifunika na dhahabu ndani na nje.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Aliipakaa zahabu kwenye sakafu ya vyumba vya ndani na vya inje.