1 Peter 2:3 — Compare Translations

14 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mmegundua kwamba Bwana ni mwema.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
ikiwa kweli mmeonja kwamba Bwana Isa ni mwema.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
ikiwa mmeonja ya kwamba Bwana ni mwenye fadhili.
Swahili (TKU) 2017 (Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi)
kwa vile mmekwisha kuujaribu wema wa Bwana.
Swahili 1850 - Biblia Takatifu
Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mmegundua kwamba Bwana ni mwema.”
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mmegundua kwamba Bwana ni mwema.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
ikiwa kweli mmeonja ya kwamba Bwana ni mwema.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
ikiwa kweli mmeonja ya kwamba Bwana Isa ni mwema.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
ikiwa mmeonja ya kwamba Bwana ni mwenye fadhili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Mmegundua kwamba Bwana ni mwema.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
mkiwa mmeonja, mkaona, ya kuwa Bwana ni mwema!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
ikiwa mmeonja ya kwamba Bwana ni mwenye fadhili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Mumetambua kwamba Bwana ni mwema.”
Swahili SWZZB1921 (New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921)
ikiwa mmeonja kwamba Bwana ni mwenye fadhili.