1 Samuel 10:13 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Shauli alipomaliza kutabiri, alikwenda mahali pa ibada juu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya Sauli kumaliza kutoa unabii, alienda mahali pa juu pa kuabudia.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye alipokwisha kutabiri, alipafikilia mahali pale pa juu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Shauli alipomaliza kutabiri, alikwenda mahali pa ibada juu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya Sauli kumaliza kutoa unabii, alikwenda mahali pa juu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya Sauli kumaliza kutoa unabii, alikwenda mahali pa juu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye alipokwisha kutabiri, alipafikia mahali pale pa juu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Shauli alipomaliza kutabiri, alikwenda mahali pa ibada juu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipokwisha kufumbua mambo akaja kilimani pa kutambikia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye alipokwisha kutabiri, alipafikilia mahali pale pa juu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Saulo alipomaliza kutabiri, alikwenda kwenye nafasi ya kuabudia.