1 Samuel 11:6 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mara, Shauli aliposikia maneno hayo, roho ya Mungu ikamjia kwa nguvu, naye akawaka hasira kali.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Sauli aliposikia maneno yao, Roho wa Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akawaka hasira.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na roho ya Mungu ikamjilia Sauli kwa nguvu, hapo alipoyasikia maneno yale, na hasira yake ikawaka sana.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mara, Shauli aliposikia maneno hayo, roho ya Mungu ikamjia kwa nguvu, naye akawaka hasira kali.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Sauli aliposikia maneno yao, Roho wa Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akawaka hasira.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Sauli aliposikia maneno yao, Roho wa Mwenyezi Mungu akaja juu yake kwa nguvu, naye akawaka hasira.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na Roho ya Mungu ikamjia Sauli kwa nguvu, hapo alipoyasikia maneno yale, na hasira yake ikawaka sana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mara, Shauli aliposikia maneno hayo, roho ya Mungu ikamjia kwa nguvu, naye akawaka hasira kali.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, roho ya Mungu ilipomjia Sauli, alipozisikia habari hizo, makali yake yakawaka moto.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na roho ya Mungu ikamjilia Sauli kwa nguvu, hapo alipoyasikia maneno yale, na hasira yake ikawaka sana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mara moja, Saulo aliposikia maneno hayo, roho wa Mungu akamufikia kwa nguvu, naye akawaka hasira kali.